1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 21.04.2019

Zainab Aziz
21 Aprili 2019

Idadi ya watu waliouawa kutokana na miripuko ya mabomu nchini Sri Lanka yaongezeka. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ahimiza amani Libya na kurejea nyumbani wakimbizi wa Syria. Nchini Israel chama cha Likud chaanza mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya mseto.

https://p.dw.com/p/3HBe1