1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 22.05.2022

22 Mei 2022

Mafuriko ya Bangladesh na India yaua zaidi ya watu 50 na kuwaathiri mamilioni ya wengine. Ukraine yarefusha hali ya dharura ya sheria ya kijeshi. Rais wa Marekani Joe Biden aonya juu ya uwezekano wa kuenea kwa homa ya nyani.

https://p.dw.com/p/4Bhgj