WHO limesema huenda aina mpya ya kirusi cha corona cha Omicron kikasambaa kote duniani/ Ulimwengu uko kwenye kutafakari namna ya kukabiliana na aina mpya ya kirusi cha Corona/ majadiliano ya Nyuklia,Vienna/ Rais wa Lebanon Michel Aoun ahudhuria hafla ya ufunguzi wa michuano ya soka nchini Qatar/ Tuzo la Ballon d’Or 2021.