Waziri Mkuu wa Ethiopia atoa wito wa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi nchini humo//Mgombea wa uchaguzi kaskazini magharibi mwa Pakistan auwawa katika shambulizi la kujitoa mhanga//Na Makamu wa rais wa Afghanistan awasili nchini humo baada ya kuwa Uturuki kwa zaidi ya mwaka mmoja