1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 23.08.2020

Amina Mjahid
23 Agosti 2020

Maandamano makubwa yanatarajiwa kufanyika Belarus wakati rais Alexander Lukashenko akiamuru jeshi kuilinda nchi, Ujumbe wa Mataifa ya Magharibi una matumaini ya utulivu baada ya kukutana na wanajeshi walioasi Mali na visa vya maambukizi ya virusi vya corona vyapindukia milioni 3 nchini India.

https://p.dw.com/p/3hMlH