1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya mchana 28.12.2020

SK2 / S02S28 Desemba 2020

Wandishi habari nchini Uganda wamesusia kikao cha vyombo vya usalama kupinga vitendo vya hujuma dhidi yao vinavyofanywa na majeshi ya serikali// Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Félix Tshisekedi jana amekutana na viongozi wawili wa upinzani Moise Katumbi na Jean Pierre Bemba// Mataifa ya Umoja wa Ulaya jana yameanza kutoa chanjo kwa watu wengi katika juhudi za kupambana na Corona

https://p.dw.com/p/3nHgc