Israeli yatakiwa kusimamisha ubomoaji wa makazi ya Wabedouin katika Bonde la Jordan, waziri wa mambo ya nje wa Bangladesh A.K. Abdul Momen asema nchi yake haina wajibu wa kutoa hifadhi kwa wakimbizi 81 wa jamii ya waislamu ya Rohingya na Saudi Arabia yakanusha ripoti ya Marekani kuwa mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo Mohammed bin Salman aliidhinisha mauaji ya Jamal Khassogi