1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumaini kwa watoto waliokuwa wanajeshi

2 Mei 2017

Wakati wanajeshi watoto wa zamani kutoka kaskazini mwa Uganda wanaporejea nyumbani, mara kwa mara hukabiliwa na jamii ambazo husita kuwakubali tena katika maisha ya kila siku. Kama waasi walijifunza tu jinsi ya kuua na kuishi msituni. Anywar Richard Ricky anataka kuwasaidia.

https://p.dw.com/p/2cFKx