1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumizi mabaya ya "Facebook"

Yusra Abdallah Buwayhid9 Januari 2017

Kumekuwepo na ongezeko la matumizi mabaya ya mitandao na kusababisha athari kubwa. Mtandao wa Facebook nao umekumbwa na dhahama hiyo. Nini kinafanyika sasa, kukabiliana na madhara zaidi Sikiliza makala haya ya Sema Uvume, lakini pia ujifunze kwenda "live" kupitia Twitter.

https://p.dw.com/p/2VVPo