1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mazungumzo kati ya Serikali ya Burundi na FNL PALIPEHUTU kufanyika hivi karibuni

31 Agosti 2007

Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi ametangaza kwamba mazungumzo kati ya serikali yake na kundi la mwisho la waasi la FNL PALIPEHUTU yaliyokwama sasa yatafanyika hivi karibuni.

https://p.dw.com/p/CH8k
Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi
Rais Pierre Nkurunzinza wa BurundiPicha: AP
Juu ya umuhimu wa mazungumzo hayo Zainab Aziz alizungumza na Balozi wa Burundi mjini Geneva mheshimiwa Paul Mahwera.