1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgogoro wa Syria

Amina Mjahid
1 Machi 2018

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Syria Steffan D Mistura amesema umoja huo unaendelea kutafuta njia za kusimamisha kabisa mapigano nchini Syria wakati hayo yakiarifiwa msafara wa magari uliobeba shehena ya misaada ya kiutu kwa watu 50,000 waliolazimika kuyahama makazi yao umewasili katika mji wa Afrin nchini Syria uliyoandamwa na mashambulizi ya vikosi vya Uturuki. Papo kwa papo 01.03.2018

https://p.dw.com/p/2tXeg