1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miaka 75 baada ya vita vya pili vya dunia

11 Mei 2020

Ulaya inaadhimisha miaka 75 ya kumalizika kwa vita vya pili vya dunia baada vikosi vya NAZI vya Ujerumani kujisalimisha kufuatia vita vilivyodumu kwa miaka sita. Hata hivyo maadhimisho haya yanafanyika kimya kimya kufuatia vizuizi vya kupambana na virusi vya corona.#Kurunzi

https://p.dw.com/p/3c19C