1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.12.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S11 Desemba 2018

Brexit: Bunge la Uingereza litapiga kura iwapo litaidhinisha mpango wa May wa kujiondoa katika Umoja wa Ulaya kabla ya tarehe 21 Januari mwaka ujao/ COP24/ Wakimbizi wa Syria kurejea nyumbani mwaka ujao/ Mahakama Kuu ya Tanzania imetangaza kuwa itakwenda likizo> Mahojiano/ Kenya: Washukiwa waliokamatwa kuhusiana na kashfa kubwa ya ufisadi wameachiwa leo kwa dhamana ya polisi

https://p.dw.com/p/39tRB