1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mmoja afa baada ya zoezi la kiusalama Kenya

1 Desemba 2015

Polisi nchini Kenya inachunguza zoezi la kupima utayari wa kukabiliana na shambulizi la magaidi katika chuo kikuu cha Strathmore Nairobi, ambapo mtu mmoja alifariki na zaidi ya wanafunzi 20 kujeruhiwa.

https://p.dw.com/p/1HFRk
Chuo Kikuu cha Strathmore Nairobi, Kenya
Picha: picture-alliance/dpa/D. Irungu

[No title]