1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mradi wa kujenga mabwawa wasitishwa Kenya kwa ufisadi

Jacob Safari Bomani28 Februari 2019

Shilingi bilioni 63 za ujenzi wa mabwawa mawili ya kaunti ya Elgeyo Marakwet, Kenya, hazijulikani zilipo na mabwawa hayo yakiwa hayajajengwa. Kampuni kadhaa za watu mashuhuru nchini humo zinatajwa kuhusika na mkasa huo.

https://p.dw.com/p/3EEwm

DW imezungumza na mchambuzi wa masuala ya kisiasa kutoka Kenya Herman Manyora kutaka kujua iwapo Tume ya Kupambana na Ufisadi nchini humo imelemewa na mzigo?