Familia ya rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe, imesema mwili wa kiongozi huyo utazikwa mapema wiki ijayo kijijini kwake//Gavana wa kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya Anne Waiguru amewataja wakazi wa eneo la mlima Kenya kuwa tayari kumuunga mkono mgombea wa urais kutokea kabila jengine