JamiiMtandao unaookoa vyakula vinavyotupwa UjerumaniTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii30.01.202030 Januari 2020Tatuzo la utupwaji wa vyakula limekithiri katika nchi nyingi za Magharibi. Mwandishi wetu wa Berlin Harrison Mwilima alitembelea mtandao ambao unaokoa vyakula hivyo vinavyopaswa kutupwa. Hii hapa video yake.https://p.dw.com/p/3X3mRMatangazo