Mzunguko wa utawala wa kijeshi Sudan lazima uvunjwe kuliwezsha taifa hilo kupiga hatua mbele kimaendeleo. Jitihada zote zinatakiwa kuelekezwa katika kuhakikisha mchakato wa kukabidhi madaraka unafanyika kwa njia ya demokrasia na uwajumuishe Wasudan wote.