1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanasoka Kingsley Ehizibue: 'Bila shaka ubaguzi wa rangi huniathiri'

10 Machi 2021

Katika mahojiano ya kipekee na Bruce Amani wa DW, Kingsley Ehizibue mwanasoka anayechezea klabu ya FC Cologne katika ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga, na ambaye mizizi yake ni Uholanzi na Nigeria, anasimulia safari yake katika ulimwengu wa soka na jinsi gani ameweza kushinda changamoto anapokumbana na ubaguzi wa rangi.

https://p.dw.com/p/3qRAt