1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

PARIS.Baraza jipya la mawaziri latangazwa nchini Ufaransa

18 Mei 2007
https://p.dw.com/p/CC0x

Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ametangaza baraza la mawaziri ambapo nusu ya nyadhifa zitashikwa na wanawake.Waziri mpya wa mambo ya nje atakuwa bwana Bernard Kouchner , msoshalisti , alieanzisha shirika la madaktari wasiokuwa na mipaka.

Baraza hilo jipya chini ya waziri mkuu Francois Fillon lina mawaziri 15 .