1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Rais Mwai Kibaki alalamikiwa

Admin.WagnerD20 Februari 2013

Tume ya Utekezaji ya Katiba ya nchini Keya imemtupia lawama rais Mwai Kibaki wa taifa hilo kuwa hajatekelza matakwa ya katiba mpya kwa kutoidhinisha majina ya makamishina wa tume ya ardhi kwa mujibu wa katiba mpya.

https://p.dw.com/p/17hrg
Opposition leader Raila Odinga, left, looks on as Kenyan President Mwai Kibaki, right, announce the cabinet and Odinga as the Prime Minister, Sunday, April 13, 2008 at State House in Nairobi, Kenya. President Mwai Kibaki on Sunday named rival Raila Odinga as prime minister, implementing a power-sharing deal after protracted negotiations over the deal they signed over a month ago.(AP Photo/Karel Prinsloo)
Rais Mwai Kibaki wa KenyaPicha: AP

Kutoka Kenya Sudi Mnette amezungumza na Anthony Mukaya ambae ni afisa tawala katika shirika linalojumuisha asasi za kiaraia zinazojihusha na masuala ya ardhi-National Land Alliance. kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikilizia masikioni hapo chini.

Mwandishi: Sudi Mnette
Mhariri:Josephat Charo