1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ramla Said: Mwakilishi wa walemavu Mombasa

14 Oktoba 2020

Ramla Said ni mfano wa kuigwa unaothibitisha ule msemo kwamba kuwa mlemavu haimaanishi ni kutoweza. Jitihada za Ramla za kutetea haki za walemavu wenzake zinadhihirisha hilo. Msikilize mafanikio yake katika vidio mliyoandaliwa na Faiz Musa Abdallah, kutoka Mombasa, Kenya.

https://p.dw.com/p/3jv9N