1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sekta ya utalii Kenya yaimarika

Eric Ponda22 Septemba 2016

Mkurugenzi wa chama cha wenye kumiliki hoteli Kenya, kanda ya Pwani, Sam Ikwaye, anazungumza na Eric Ponda katika Kinagaubaga kuelezea namna ambavyo watalii sasa wanarejea Kenya baada ya vitisho vya ugaidi kuwatia wasiwasi baadhi yao. Hoteli sasa zinaanza tena kupata wateja wakutosha.

https://p.dw.com/p/1K6Q9