1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Siku ya kimataifa ya Lugha ya Mama

21 Februari 2007

Leo ni siku ya kimataifa ya lugha ya mama na utafiti unaonayesha kwamba sehemu nyingi za dunia vijana wamepoteza mwelekeo juu ya kuzungumza lugha yao ya asili.

https://p.dw.com/p/CHJi

Asilimia kubwa ya vijana hawajui lugha zao za asili na hawawezi kujieleza wakitumia lugha hizo.

Saumu Mwasimba amezungumza na Bwana Abdallah M. Miraji yeye ni mtaalamu wa lugha kutoka Mombasa nchini Kenya.