1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sudan Kusini

Sudan Kusini ndiyo nchi changa kabisaa duniani. Ilipata uhuru wake kutoka Sudan mnamo mwaka 2011. Ni nchi yenye utajiri wa mafuta baada ya kuondoka na karibu theluthi mbili ya mafuta ya Sudan.