1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari asubuhi 17.06.2020

V2 / S12S17 Juni 2020

VIDOKEZO: Wataalam wasifia dawa aina ya Steroid dexamethasone kuwa hatua kubwa katika kutibu COVID-19. // Korea Kaskazini yatishia kupeleka jeshi katika eneo lisilo la shughuli za kijeshi kati yao na Korea Kusini.// Jeshi la India lasema wanajeshi wake 20 wameuawa kwenye makabiliano na China mpakani

https://p.dw.com/p/3dtYJ