1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 23.07.2021

V2 / S12S23 Julai 2021

++Marekani imemwekea vikwazo waziri wa ulinzi wa Cuba kwa ukandamizaji dhidi ya maandamano ya amani.+++Nusu ya raia watu wazima barani Ulaya wamepatiwa chanjo kamili ya Covid-19+++++Na Baadhi ya nchi za Ulaya zimeonyesha kukasirishwa na makubaliano ya Ujerumani na Urusi juu ya mradi wa bomba la Nord stream 2.

https://p.dw.com/p/3xtwY