1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tatizo la ulemavu wa ngozi kwa watoto Kigoma

Prosper Kwigize8 Aprili 2021

Katika makala ya Mbiu ya Mnyonge, safari hii tunaangazia tatizo la ulemavu wa ngozi kwa watoto na jinsi tatizo hilo huwasababishia masaibu mengine. Tunatua hali ilivyo eneo la Kigoma.

https://p.dw.com/p/3rixH