1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Thailand yaanza mwaka mzima wa maombolezo

Mohammed Khelef
14 Oktoba 2016

Thailand yaanza mwaka mzima wa maombolezo kwa kifo cha mfalme wao, Donald Trump akanusha kuhusika na kashfa za ngono na makubaliano ya kusitisha mapigano yaongezewa muda hadi Disemba 31 nchini Colombia. Yote hayo ni katika Papo kwa Papo ya leo Oktoba 14,2016.

https://p.dw.com/p/2REtv

Thailand yaanza mwaka mzima wa maombolezo kwa kifo cha mfalme wao, Donald Trump akanusha kuhusika na kashfa za ngono na makubaliano ya kusitisha mapigano yaongezewa muda hadi Disemba 31 nchini Colombia. Yote hayo ni katika Papo kwa Papo ya leo Oktoba 14,2016.