1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tiba asilia badi muhimu Kenya

15 Agosti 2016

Mganga wa tiba asilia nchini Kenya Bi Njoki Kiarie, anasema tiba ya aina hiyo bado ni muhimu kwa afya ya binadamu, akisema inasaidia mwili kujijengea Kinga na kuepusha madhara yatokanayo na dawa za kisasa. Msikilize halafu utujulishe iwapo unakubaliana naye au la.

https://p.dw.com/p/1Jib3