Tatizo la udhalilishaji kingono dhidi ya watoto linazidi kuwa kubwa. Inaelezwa kuwa msichana 1 kati ya 10 wamedhalilishwa, duniani kote na katika kaunti za Kilifi na Mombasa tatizo hilo linashamiri. Jiunge na Fathiya Omar katika makala ya Mbiu ya Mnyonge akiangazia madhala yanayowakuta watoto.