1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufisadi wachangia uharibifu wa mazingira duniani

24 Juni 2011

Shirika la Kimataifa la Kupiga Vita Rushwa, Transparency International, limeonya kupitia ripoti yake ya mwaka, kuwa rushwa na ufisadi unazidhoofisha juhudi za dunia za kupambana na mabadiliko ya tabianchi.

https://p.dw.com/p/RVba
Rushwa inahatarisha kupotea kwa misitu kama hii duniani
Rushwa inahatarisha kupotea kwa misitu kama hii dunianiPicha: DW-TV

Mohammed Dahman anaiangalia ripoti hiyo na namba ambavyo maisha ya wanaadamu wote yanahatárishwa kwa sababu ya ufisadi unaofanywa na watu wáchache wenye dhamana katika jamii.

Mtayarishaji/Msimulizi: Mohammed Dahman
Mhariri: Othman Miraji