1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda: Amama Mbabazi akamatwa na polisi

Admin.WagnerD9 Julai 2015

Polisi nchini Uganda inamshikilia Waziri Mkuu wa zamani Amama Mbabazi, ambaye mwezi uliopita alitangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu baadaye mwaka ujao.

https://p.dw.com/p/1FvW5
Uganda ehemaliger Premierminister Amama Mbabazi
Waziri Mkuu wa zamani Amama MbabaziPicha: DW/E. Lubega

Mbabazi alikamatwa alipokuwa anasafiri kutoka Kampala akielekea mji wa Mashariki wa Mbale alikotarajiwa kukutana na wafuasi wake. Mwandishi wetu Lubega Emmanuel anayefuatilia habari hiyo kwa karibu alikuwepo mjini Mbale kwanza anaelezea ni sababu gani zilizoifanya polisi kumkamata Mbabazi.

Mwandishi Amina Abubakar

Mhariri Yusuf Saumu