1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda kuwatoza kodi watumiaji wa mitandao ya kijamii

Yusra Abdallah Buwayhid11 Aprili 2018

Rais wa Uganda apendekeza wanaotumia mitandao ya kijamii nchini humo watozwe kodi. Madaktari Marekani waanza kutumia Apps za simu kufuatiliwa wagonjwa wao. Na marehemu Winnie Mandela akumbukwa mitandaoni. Yote hayo ni katika Sema Uvume.

https://p.dw.com/p/2vscW