1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yachukua urais wa kupokezana wa Umoja wa UIaya

John Juma
1 Julai 2020

Chini ya uongozi wa Kansela Angela Merkel, Ujerumani itashikilia wadhifa huo kwa muda wa miezi sita. Ujerumani itakuwa na jukumu la kuandaa na kusimamia mikutano baina ya wakuu wa serikali wa Umoja wa Ulaya na mawaziri, chini ya kauli mbiu ya “Pamoja kwa mustakabli wa Ulaya.”

https://p.dw.com/p/3ee0F