MichezoKimataifaUlimwengu wamlilia Pele wa BrazilTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoMichezoKimataifa30.12.202230 Desemba 2022Kifo cha nyota wa zamani wa soka Pele kimeleta majonzi kote duniani. Salamu za rambirambi zinaendelea kutumwa tangu na wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki na mashabiki wa soka kutoka kila kona ya dunia. https://p.dw.com/p/4LaQyMatangazo