Huwa unazingatia nini pindi unapochagua mahala pa kuishi? Je maeneo ya mijini, mambo gani gani yanakuvutia, je ni maeneo yaliyo na shughuli nyingi?au unapendelea sehemu tulivu. Bruce Amani analizungumzia hilo katika Vijana MchakaMchaka, karibu umsikilize.