1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Unyanyapaa dhidi ya walemavu wa ngozi ungalipo

14 Juni 2018

Dunia wiki hii imeadhimisha siku ya kuwahamasisha watu kuhusiana na ulemavu wa ngozi kwani ubaguzi dhidi ya walemavu hao ungalipo. Vile vile imani potofu za kishirikina kuhusu uwezo wa sehemu za watu hao kutibu magonjwa na hata kuleta utajiri zimewatia hatarini.

https://p.dw.com/p/2zZNT