1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uteuzi wa Gabriel Attal kama Waziri Mkuu wa Ufaransa

20 Januari 2024

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alimteua Januari 9 mwaka 2024, Gabriel Attal kuwa Waziri Mkuu mpya. Attal mwenye umri wa miaka 34 anachukua nafasi ya Elisabeth Borne aliyejiuzulu sambamba na serikali aliyokuwa akiiongoza. Hatua hii ya Macron inachukuliwa kama ya kimkakati na yenye lengo la kuisafisha serikali yake ambayo imekuwa ikikabiliwa na kashfa mbalimbali.

https://p.dw.com/p/4bV0L