1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vita vya Syria vyatimiza miaka 8

Mohammed Khelef
15 Machi 2018

Vita vya Syria vinaingia mwaka wake wa nane, huku jeshi la Urusi likisema limeongeza muda wa usitishaji mapigano kwa sababu za kibinaadamu kwa siku mbili zaidi katika eneo la Ghouta Mashariki, kando kidogo ya mji mkuu, Damascus, ingawa vikosi vya serikali vinaendelea na mashambulizi ya makombora na mabomu. Angalia vidio hii fupi ya hali ilivyo sasa Syria na kisha tupe maoni yako.

https://p.dw.com/p/2uNe8