1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vyakula vyenye uchachu kama limau vina madhara tumboni wakati wa mfungo?

27 Aprili 2020

Je wakati mtu anafuturu, ni salama anapokula vyakula vyenye uchachu kama vile limau na ndimu? Je vyakula vilivyo na 'asidi' huweza kukudhuru ukila kama chakula cha kwanza wakati wa kufuturu? Sikiliza mtizamo wa daktari.

https://p.dw.com/p/3cDz0