1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Waafrika wanavyofuatilia uchaguzi wa Umoja wa Ulaya

Rashid Chilumba15 Mei 2019

Kampeni za uchaguzi wa Umoja wa Ulaya zimeshika kasi. Wapiga kura katika nchi wanachama wa umoja huo watateremka vituoni Mei 23-26, kulichagua bunge jipya. DW imezungumza na Mohamed Saleh, mkaazi wa mjini Paris, Ufaransa kutaka kujua hali jumla kuelekea uchaguzi huo na jinsi wakaazi wasio na asili ya Ufaransa hususan kutoka Afrika wanavyoufuatilia.

https://p.dw.com/p/3IXB5