JamiiWanawake Iringa watoa elimu kuhusu afya ya uzaziTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiANUARY MKAMA19.06.201919 Juni 2019Makala ya Wanawake na Maendeleo, safari hii inaangazia kikundi cha wanawake kiitwacho IMCHA mkoani Iringa. Je juhudi zao katika kuboresha maisha ya wanawake ni zipi? Na zimepiga hatua kwa kiwango gani? Kwa mengi zaidi, ungana na Anuary Mkama.https://p.dw.com/p/3KgmXMatangazo