1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasudani 2 wapigwa Dresden

23 Desemba 2007

---

https://p.dw.com/p/CfVl

DRESDEN:

Polisi nchini Ujerumani imearifu kwamba wasudani 2 wamepigwa katika shambulio la chuki za kikabila na watu 5 waliowahujumu nje ya Disco 1 mjini Dresden,mashariki mwa Ujerumani.

Kijana wa kijerumani aliejaribu kuingilia kati kuzima mapigano alihujumiwa.Hakuna aliepata majaraha makubwa.