1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Fasihi

Watoto wahimizwa kusoma vitabu

Zainab Aziz
10 Oktoba 2017

Mwandishi wa vitabu Tsion Kiros raia wa Ethiopia amezindua vitabu vyake vyenye mfululizo wa hadithi za watoto. mwanamke huyo anasema ni muhimu kwa watoto wa Kiamharik kujifunza lugha na utamaduni wao.

https://p.dw.com/p/2lb0E