1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ziara ya Naibu Spika Claudia Roth nchini DRC

11 Juni 2014

Naibu spika wa bunge la Ujerumani Bi Claudia Roth, yuko ziarani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

https://p.dw.com/p/1CGPd
Claudia Roth, Naibu spika wa bunge la Ujerumani
Claudia Roth, Naibu spika wa bunge la UjerumaniPicha: Getty Images

Hapo jana Bi Roth alikutana kwa mazungumzo na maafisa wa ngazi ya juu katika serikali mjini Kinshasa. Mengi yalijadiliwa mukiwemo ulinzi wa mbuga ya wanyama ya Virunga ambayo inadhaniwa huenda ikatoweka kutokana na mpango wa kuchimba mafuta katika mbuga hiyo.
John Kanyunyu na ripoti kamili kutoka Kinshasa. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: John Kanyunyu

Mhariri: Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi