Zverev apeta Madrid Open
14 Mei 2018Matangazo
Zverev mwenye umri wa miaka 21 aliishinda mechi hiyo baada ya saa moja na dakika kumi na nane na anasema kwamba anatumai kwamba ushindi huo utakuwa ni motisha kwake wa kuendelea kucheza vyema zaidi.
Licha ya kuebuka bingwa Mjerumani huyo amekiri kwamba Rafael Nadal na Roger Federer bado ndio wachezaji bora zaidi katika Tennis.
Mwandishi: Jacob Safari/AFPE/DPAE/APE
Mhariri: Iddi Ssessanga