1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

CHADEMA yasisitiza kushiriki chaguzi za mitaa

Lilian Mtono
15 Oktoba 2019

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, kimesema hakitasusia uchaguzi wa serikalu za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba kama wengi walivyodhani na badala yake watafanya hamasa kwa watu wao kwenda kujiandikisha na kupiga kura. Sikiliza ripoti hii ya Hawa Bihoga.

https://p.dw.com/p/3RLI9