1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Changamoto ya maji kwa wanawake Singida

Bruce Amani
7 Agosti 2019

Wanawake wa Singida, nchini Tanzania, wanajizatiti kila siku katika kuendesha shughuli za kimaendeleo. Na kilimo, ni mojawapo ya shughuli wanazozipa kipaumbele katika kujikimu kimaisha. Lakini sasa kuna changamoto kubwa: Maji.

https://p.dw.com/p/3NWWv