1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DRC: Wapinzani wataka kushirikishwa

6 Aprili 2017

Baada ya Rais Joseph Kabila hapo Jumatano kutangaza atamteua Waziri Mkuu ndani ya masaa 48, upinzani umesema unataka kuhusishwa katika mchakato wa kumteua kiongozi huyo mpya. Saleh Mwanamilongo anaripoti.

https://p.dw.com/p/2an6w
Joseph Kabila
Picha: picture alliance/dpa/A.Gomber

J2 06.04 Kinshasa: Opposition rejects kabilas move on Prime Minister - MP3-Stereo